Karibu

Habari! hii ni mara yangu ya kwanza kufungua blog. Sababu iliyonipelekea kufungua blog hii ni ningependelea niwe naweka mapishi mbalimbali ili niweze kujumuika na wenzangu wanaopenda kupika. Blog hii nitakua nikituma jinsi ya kupika kwa kiswahili. Ni matunaini yangu mtapendelea mapishi yangu na kufurahia, karibuni sana.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

TAMBI ZA SUKARI

Biriani (Biryani)

VISHETI